SAYANSI MWAKA WA KWANZA (I)
{"name":"SAYANSI MWAKA WA KWANZA (I)", "url":"https://www.quiz-maker.com/QPREVIEW","txt":"WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIACHUO CHA UALIMU ILONGAIDARA YA SAYANSIMASWALI YA NYUMBANI MWAKA WA KWANZA NOV, 2023 Kazi ya kufanya likizo kwa mwaka wa pili. Imetolewa tarehe 26\/11\/2023Sir Godfrey Steven 1. (a) Eleza kwa kifupi maana ya kujifunza.(b) Bainisha kazi 3 anazotakiwa kuzifanya mwalimu darasani ili kumsaidiamwanafunzi aweze kujifunza. 2. Taja vitendo 5 vinavyoweza kufanywa na wanafunzi ili waweze kupimwa namwalimu wao. 3. (a) Ili msingi wa kufundishia somo la Sayansi wa “Kutenda vitendo katikaufundishaji na ujifunzaji” ufanikiwe, ni mambo gani yanatakiwa kuzingatiwa?. (b) Nini maana ya kujifunza kwa “ujenzi wa maana”? 4. (a) Eleza maana ya kufundisha.(b) Kwa kutumia mifano, bainisha mitazamo ya ujifunzaji. (Toa mfano mmoja kwa kila mtazamo). 5. (a) Tofautisha uchunguzi wa kisayansi na jaribio la kisayansi.(b) Andika ripoti ya jaribio la kisayansi lililofanywa la kuonesha mabadiliko katika hali za maada kiumbo. 6. Eleza hatua kwa hatua namna ya kufundisha kwa njia ya jarbio ili wanafunziwaweze kuelewa. 7. Kwa kutumia michoro onesha ni nini hutokea wakatia) Mwanga unaposafiri kutoka media moja hadi nyingine zenye ujazonene tofauti b) Miale ya mwanga inapopita kwenye lensi mbinuko 8. Eleza kwa ufupi maana ya istilahi zifuatazoa) Omnivorab) Hebivorac) Kanivorad) Kinga ya mwili 9. Kuungua kwa karatasi ni badiliko la kemikali. Thibitisha kauli hiyo kwa kutoa hoja nne. 10. Gurudumu na ekseli zenye ufanisi wa 95% ilitumika kuinua mzigo wenye uzito wa 1200N. Ikiwa nusu kipenyo cha gurudumu ni sm 40 na cha ekseli ni sm 5. Kokotoa a) Uwiano wa mwendo dhahiri wa gurudumu na ekselib) Manufaaa ya kikenikac) Jitihada iliyotumika kuinua mzigo 11. (a) Maabara ni nini?b) Eleza sifa 5 za maabara borac) Taja alama tano za tahadhali za kemikali zinazotumika katika chupa za kuhifadhia kemikali mbalimbali katika maabarad) Eleza tahadhari 4 za kuchukua ili kujikinga wewe mwenyewe na ajali katika maabara. 12. Kwa kutumia mifano, bainisha njia nne zinazoweza kueneza magonjwa ya kuambukiza. 13. (a) Eleza maana ya ukinzani katika umeme(b) Taja sababu tatu (03) zinazoathiri ukinzani katika umeme, Please enter your email address","img":"https://www.quiz-maker.com/3012/images/ogquiz.png"}
More Quizzes
Addition and Subtraction
210
What are you?
630
Wholesale Team Quiz Bonanza
630
RCM Final Assessment
11612
Who What When Where Why How - Free Online Practice
201021426
What Is a Baby Turtle Called? Free
201033325
Native American Trivia Questions - Free History
15823795
Which Prefix Indicates a Secure Webpage? Free
201022453
Which Cookie Run Character Are You? Free
201027211
Undertale Crush: Which Character Is Your Match?
201024744
Law & Order: SVU - Which Detective Are You?
201023616
States of Matter - Chemistry Knowledge Check
201042581